NCA sasa inatayarisha vipindi vya redio vitakavyorushwa kupitia vyombo vya habari vya jamii.
Mojawapo ya mada zitakazojadiliwa ni matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa vijana.Vipindi hivi vinalenga Kuelimisha vijana kuhusu hatari na faida za mitandao ya kijami.Kuwasaidia kutambua na kuepuka maudhui yenye madhara. Pia vinalenga kuhamasisha vijana juu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii.
0 maoni
Ingia au uunde akaunti ili kuongeza maoni yako.