KONGAMANO LA UMUHIMU WA MIKATABA YA KIBIASHARA
🤝💵Kongamano lilijumisha wadau wa ufugaji wa kuku wa kisasa na wanunuzi.
📝‼️Lengo la kongamano hili ni kutoa uelewa juu wa umuhimu wa mikataba rasmi katika biashara za bidhaa wanazozalisha wafugaji kama vile mayai 🥚na kuku🐓.
⚖️Miongoni mwa mada zilizojadiliwa kwenye kongamano ni aina za mikataba inayotambulika kisheria.
✅✍️Baada ya mafunzo wafugaji walitekeleza mafunzo kwa kuingia kwenye mikataba ya kimaandishi.
0 maoni
Ingia au uunde akaunti ili kuongeza maoni yako.